
Rais mteule wa awamu ya tano, Dkt
John Pombe Joseph Magufuli alimpokea Mhubiri wa kimataifa kutoka
Nigeria TB Joshua Uwanja wa ndege Dar leo jioni. Mhubiri huyo aliyekuja
na watu 40 kwa ndege yake mwenyewe, amekuja kushuhudia Dkt Magufuli
akiapishwa.
Rais...