Sunday, April 28, 2013



     Hili ndilo gari ambalo  limesababisha  kifo cha paroko
             -------
PAROKO  wa kanisa la RC parokia ya Ifunda Alphonce Mhamilawa amefariki  dunia katika ajali mbaya ya gari  iliyotokea katika eneo la Sabasaba Mafinga wilaya ya Mufindi mkoani Iringa.

Categories: ,

0 comments:

Post a Comment