






Mashuhuda walisema abiria waliokuwa wakihofia maisha yao walipiga makelele kutokana na kuchanganyikiwa huku ndege hiyo ya Lion Air ilipovuka njia ya kutua/kuruka kwenye Uwanja wa Ndege wa Ngurah Rai, karibu na Denparsar. Ndege hiyo, ilikuwa imebeba abiria 101 na wafanyakazi saba – kisha ikatumbukia baharini kutoka urefu wa karibu mita …read more
0 comments:
Post a Comment