Friday, May 23, 2014

Investigation: Moyes was present at the bar in Clitheroe at the time of the assault

Incident: Joshua Gillibrand claims he was attacked at just after 10pm on Wednesday night
Inasemekana Moyes alikerwa na kijana huyo mlevi aliyemtukana kocha huyo baada ya kufukuzwa kazi hivi karibuni na kumuita 's*** (hatujaona haja ya kutafsiri kimaadili), akimaanisha hajawahi kushinda kombe, alisema shahidi.
Baada ya maneno hayo vurugu ziliibuka mezani ambapo glasi zote zimeanguka chini.
Mr Gillibrand, alikula vibao na alichubuka kwenye bega kutokana na ugomvi huo, lakini hakuhitaji kwenda hospitali kupata matibabu zaidi.
Leo polisi walithibitisha kufungua uchunguzi juu ya tukio hilo na wanatarajia kuongea na kocha huyo wa zamani wa Everton.
Location: The Emporium wine bar in Clitheroe, Lancashire, where the alleged assault took place
Joshua Gillibrand works as a joiner
Gillibrand allegedly suffered a lump on the side of his head
Huyu ndiye  Mr Gillibrand aliyekula kisago kutoka kwa David Moyes

0 comments:

Post a Comment